Msaada interview za Jeshi la Magereza

Sijapewa briefly na source yangu haijui mambo ya kijeshi sana ila lonja imetoka kwa makamanda wakubwa wa tanpol
Sema nilitamani sana wangeanza jw halafu ndio waje magereza ila hawa waliodoji kwenye magereza kwenye jw ndio itakuwa fungulia mbwa watu kama wote [emoji3]
 
Sema nilitamani sana wangeanza jw halafu ndio waje magereza ila hawa waliodoji kwenye magereza kwenye jw ndio itakuwa fungulia mbwa watu kama wote [emoji3]
Jw ipi akat ishaajiri watu elfu 6 mwaka huu na wengine ndo hawa madoctor+800 wa mafinga+ maservice wajenzi na maservice ambao nao wameongezew mkataba + service wapya wanasubir but kila mtu na bahati yake
 
Jw ipi akat ishaajiri watu elfu 6 mwaka huu na wengine ndo hawa madoctor+800 wa mafinga+ maservice wajenzi na maservice op makao makuu ambao nao wameongezew mkataba wanasubir but kila mtu na bahati yake
Baba jeshi halitabiriki au ushasahau mkuu alafu ukumbuke saiv nchi imefunguliwa usishangae tukaanza kumwaga askar kwenye OPs kama zama za JK
 
Mwakajana kuli kuwa na maservice op moja tuu ambao nao wengi walichukuliwa BOT, POLIS, UHAMIAJI, MAGEREZA, JW na FIRE ndo mana ushindani ulikuwa mdogo ila sahizi kuna op imeongezeka makambini ambao wanamoto hata mwaka hawana na walichukuliwa elimu ya fom4 na la7 tuu bado wale waliotoboa mikataba wapo mitaani + mujibu
 
Mimi navamia zangu bogi nkale kadet
 
Kitaeleweka tu kwenye usaili full kutunishiana misuli kwa wale wenzangu na mimi wasio na mbanga
 
mtaani kugumu Sana mitaji hatuna walau tupate hizi ajira za magereza tuwasaidie wazazi wetu umri wao nao unazidi kwenda mbele nguvu pia zawaishia ...mungu tubariki vijana wako tufanikiwe kwenye awamu hii ya majeshi ..........
 
mtaani kugumu Sana mitaji hatuna walau tupate hizi ajira za magereza tuwasaidie wazazi wetu umri wao nao unazidi kwenda mbele nguvu pia zawaishia ...mungu tubariki vijana wako tufanikiwe kwenye awamu hii ya majeshi ..........
Hakika kaka yaani Mungu atusimamie pamoto sna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…