JWTZ wamemaliza leo zaidi ya Askari 3000 wamehitimu RTS KihangaikoMwanangu mmoja hivi wa jwtz aliingia mwaka jana naona wamemwaga sijui maana leo nimemuona karudi watsapp , tujiandae na vibogi vipya
Nautamani ningekuwa miongoni mwao .sema mungu ni mwema kila mja anarizki yakeJWTZ wamemaliza leo zaidi ya Askari 3000 wamehitimu RTS Kihangaiko
Uhamiaji ,fire wanakuja tenaNautamani ningekuwa miongoni mwao .sema mungu ni mwema kila mja anarizki yake
Kwa baadhi ya mikoa tayari mengine bado kabisa mengine nasikia bado ngazi ya mkoa ila kila wilaya washapigandugu zangu kama rizki ni zetu mungu katupangia tutapata kama siyo rizki pia kheri...leteni lonja magereza Askari
Mh sizani labda ngoja tuone lakini kama kweliUhamiaji ,fire wanakuja tena
Naskia
Mana uhamiaji January tu hapa walitoa postUhamiaji ,fire wanakuja tena
Naskia
Mwenyewe nilijiuliza hivyo ila ndio hivyo ni lonja tunaziskia so hatuziamin moja kwa moja sanaMh sizani labda ngoja tuone lakini kama kweli
Ulipo ngazi ya mkoa tayari ?Kwa baadhi ya mikoa tayari mengine bado kabisa mengine nasikia bado ngazi ya mkoa ila kila wilaya washapiga
TayariUlipo ngazi ya mkoa tayari ?
We uliombea fani ?Unajua kupiga reverse tractor lenye tela?
Njoo nikupe madini .DMTayari
Hio ndio final
Tunasubiri kaka tushtuane mapemaUhamiaji ,fire wanakuja tena
Naskia
Poa poa Tuombeane uzimaTunasubiri kaka tushtuane mapema
In shaa Allaah mkuuPoa poa Tuombeane uzima
itakua poa immigration waje mapemaIn shaa Allaah mkuu
Hata polisi nao waje tu immigration nafasi zao zinakuaga chache mnoitakua poa immigration waje mapema