Ze Analyst
Member
- Feb 2, 2019
- 49
- 83
Vipi umezingatia gharama za matengenezo ya water pump ya dizeli(diesel)?Kwanza inategemea unataka kumwagilia kwa njia ya matone au kwa kutumia sprinkles. kama kwa matone pump ya petrol inatosha lkn kama ni kwa sprinklers basi tumia pump za diesel.
Water pump nzuri ni zile zinazotumia Diesel, utapata unafuu wa gharama za mafuta. Pump za petrol zinauzwa bei ndogo laki 2 mpaka 3.5 lakini zinatumia mafuta mengi.
na pampu za disel M1 na zaidi zinatumia mafuta kidogo nakushauri nunua pump ya diesel kama uwezo wako utaruhusu.
Bei ya mpira tu ambao unaweza Kuimwagilia umbali wa mita sabini Ni sh. NgapiNenda na pump ya Boss 7HP na inch 3. Bei kama laki 3 bila mpira wala koromeo. Inatumia Petrol.
Mimi nilinunua mita 100 Tsh 140,000 kama sijakosea Ilikuwa Morogoro 2018Bei ya mpira tu ambao unaweza Kuimwagilia umbali wa mita sabini Ni sh. Ngapi