Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ya mahakama ni kutoa haki....kwa nn unasema krsi haina kichwa wala miguu? Jaji ataamua tu kwa haki muaminiJamani kweli nimekwama naomba msaada, Niko Mbeya na nina kesi nafuatilia ya mahakama ya Mbeya, nimeshtakiwa kwa kesi isiyo na kichwa wala miguu haina uthibitisho hata mmoja wala shahidi ila nimepelekwa mahakamni na kila siku nakuja kusikiliza kesi. Nimeajiri mwanasheria na ni gharama mnoo hivi Tanzania mtu yeyote anawez kuamua kukupeleka mahakamani bila uthibitisho wowote ni maneno tu na akakusumbua hata miaka mitano kwenda na kurudi mahakamani bila sababu? Na jaji amegoma kufuta kesi wakati mshtaki muda mwingine hatokei yani ni pulkushani tu. Wapi naweza kumshtaki jaji achunguzwe au kubadilishwa jaji maana naona kesi yangu haina kichwa wala miguu ila nasumbuliwa sana
JAJI KAHONGWA NA NANI?Jamani kweli nimekwama naomba msaada, Niko Mbeya na nina kesi nafuatilia ya mahakama ya Mbeya, nimeshtakiwa kwa kesi isiyo na kichwa wala miguu haina uthibitisho hata mmoja wala shahidi ila nimepelekwa mahakamni na kila siku nakuja kusikiliza kesi. Nimeajiri mwanasheria na ni gharama mnoo hivi Tanzania mtu yeyote anawez kuamua kukupeleka mahakamani bila uthibitisho wowote ni maneno tu na akakusumbua hata miaka mitano kwenda na kurudi mahakamani bila sababu? Na jaji amegoma kufuta kesi wakati mshtaki muda mwingine hatokei yani ni pulkushani tu. Wapi naweza kumshtaki jaji achunguzwe au kubadilishwa jaji maana naona kesi yangu haina kichwa wala miguu ila nasumbuliwa sana
Kesi ya matusi tokea lini ikaamuliwa na Jaji?Ukiwa muongo at least uwe na kumbukumbu nzuri.sababu
alienishtaki ni kama kanionea yani nimevunja uhusiano wetu wa biashara kisheria kabisa ila sasa kunikomoa kaenda mahamkamni kudai nilimtusi. shida hana ushahidi wowote ila ndo kesi miaka mitano. ni haki kweli?
Utambishia lakini hii ndiyo TzKesi ya matusi tokea lini ikaamuliwa na Jaji?Ukiwa muongo at least uwe na kumbukumbu nzuri.
Hii ni chai tu.
soma hii kesi , mkatae jaiJamani kweli nimekwama naomba msaada. Niko Mbeya na nina kesi nafuatilia ya mahakama ya Mbeya, nimeshtakiwa kwa kesi isiyo na kichwa wala miguu haina uthibitisho hata mmoja wala shahidi ila nimepelekwa mahakamnani na kila siku nakuja kusikiliza kesi.
Nimeajiri mwanasheria na ni gharama mnoo hivi Tanzania mtu yeyote anaweza kuamua kukupeleka mahakamani bila uthibitisho wowote ni maneno tu na akakusumbua hata miaka mitano kwenda na kurudi mahakamani bila sababu?
Na jaji amegoma kufuta kesi wakati mshtaki muda mwingine hatokei yani ni pulkushani tu. Wapi naweza kumshtaki jaji achunguzwe au kubadilishwa jaji maana naona kesi yangu haina kichwa wala miguu ila nasumbuliwa sana.
Kuna mahali mwanasheria wako anazembea ama kwa kutojua vizuri kazi yake ama kwa makusudi ili aendelee kupata legal fees na attendance.sababu
alienishtaki ni kama kanionea yani nimevunja uhusiano wetu wa biashara kisheria kabisa ila sasa kunikomoa kaenda mahamkamni kudai nilimtusi. shida hana ushahidi wowote ila ndo kesi miaka mitano. ni haki kweli?
Judge na kesi za matusi wapi na wapi!? Kesi za kutusi nazisikiaga sana huko Mahakama za Mwanzo, na huko hakuna ma Judge!!sababu
alienishtaki ni kama kanionea yani nimevunja uhusiano wetu wa biashara kisheria kabisa ila sasa kunikomoa kaenda mahamkamni kudai nilimtusi. shida hana ushahidi wowote ila ndo kesi miaka mitano. ni haki kweli?
SOMA NA HIIShukrani mkuu umenisaidia sana. Kweli JF ni great thinkers.
Si amesema kuwa tayari ana mwanasheria? Au mwanasheria wake unamfahamu kuwa sio wa uhakika?Ni kesi gani hiyo nikupe advocate wa uhakika
Ndugu ikiwa umemwajiri mwanasheria (wakili) ili kukuwakilisha mahakamani katika kesi inayokukabili basi unapaswa kuamini katika uwezo wake.Jamani kweli nimekwama naomba msaada. Niko Mbeya na nina kesi nafuatilia ya mahakama ya Mbeya, nimeshtakiwa kwa kesi isiyo na kichwa wala miguu haina uthibitisho hata mmoja wala shahidi ila nimepelekwa mahakamnani na kila siku nakuja kusikiliza kesi.
Nimeajiri mwanasheria na ni gharama mnoo hivi Tanzania mtu yeyote anaweza kuamua kukupeleka mahakamani bila uthibitisho wowote ni maneno tu na akakusumbua hata miaka mitano kwenda na kurudi mahakamani bila sababu?
Na jaji amegoma kufuta kesi wakati mshtaki muda mwingine hatokei yani ni pulkushani tu. Wapi naweza kumshtaki jaji achunguzwe au kubadilishwa jaji maana naona kesi yangu haina kichwa wala miguu ila nasumbuliwa sana.
Ni vemaNdugu ikiwa umemwajiri mwanasheria (wakili) ili kukuwakilisha mahakamani katika kesi inayokukabili basi unapaswa kuamini katika uwezo wake.
niwazi kuwa ulijiridhisha juu ya uwezowake kabla mpaka ukaamua kumpa kazi.
NB: Hii imekuwa tabia ya wateja wengi Tanzania kutafuta au kutoamini mtaalamu wa Sheria anachokishauri. Nikuombe utulie na wakili wako HAKI kama ipo ipo tu inakuja.