MSAADA:Jamaa hajasimama siku ya Nne leo


mkonowapaka nashukuru na naheshimu ushauri wako lakini situmii pombe kabisa ndugu yangu.
 
Last edited by a moderator:

mkonowapaka nashukuru na naheshimu ushauri wako lakini situmii pombe kabisa ndugu yangu.
 
Last edited by a moderator:

mkonowapaka nashukuru na naheshimu ushauri wako lakini situmii pombe kabisa ndugu yangu.
 
Last edited by a moderator:

Kama haisimami inunulie baby walker
 
miss mchaga nimezoea kila siku niamkapo penis yangu lazima iwe imesimama lakini ndo siku ya nne sasa naona nina mabadiliko sana sana kiasi kwamba mpaka najiogopa.

tafuta demu upige ya uhakika alafu usiendelee na hako ka mchezo si kazuri kiafya, mwili umeushtuwa bwana umeupa kitu aijazoea, ila mkuu ni bora ukawa na demu ukamwambia ukweli kuwa unampenzi muwe mnasaidiana kumaliza mzigo wako na wake ila vizuri ukapata ambaye na yeye mpenzi wake yupo mkoa, ni mtazamo wangu mkuu
 
Kaka tumia jumper cable kubust mana n hatariii sana.inaweza ikazimika mileee mana hamna breakdwn y kuvuta mzigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…