Clemoo
Member
- Nov 27, 2011
- 71
- 15
Jaman wana Jf mi pia ni muhanga wa waliokosa mkopo, nimechaguliwa udsm ba in aquatic envnromental science and conservation, mzee wangu ni mstaafu hana uwezo wa kunilipia ada, naomben mnisaidie ni wapi naeza kupata mtu wa kunilipia ada..kwani nahis maisha yangu hayana mwelekeo tena,