Jaman wana Jf mi pia ni muhanga wa waliokosa mkopo, nimechaguliwa udsm ba in aquatic envnromental science and conservation, mzee wangu ni mstaafu hana uwezo wa kunilipia ada, naomben mnisaidie ni wapi naeza kupata mtu wa kunilipia ada..kwani nahis maisha yangu hayana mwelekeo tena,
Hivi ina maana hamjui kuandika vizuri na kwa ufasaha au ndo hali ya kuchukulia mambo kirahisirahisi na kupuuzia!? Mnasikitisha sana vijana wa sasa. Mtajikosesha mengi kwa kukosa umakini kwa namna hii. Kila la heri japo nina shaka kwa uandishi huu kama mtu ataweza amini kama kweli unaenda Chuo Kikuu.
we toa msaada,, kuchapia kupo hata kwenye kuongea, sembuse tu kuandika!
Tatizo humu ndan kuna vi O level,ukichapia tu yaan ni tabu tupu,usipoenda kando utajuaje kuwa wewe ni binadam?msaidieni Comrade sio kuanza utoto usio wa kujenga
Hivi ina maana hamjui kuandika vizuri na kwa ufasaha au ndo hali ya kuchukulia mambo kirahisirahisi na kupuuzia!? Mnasikitisha sana vijana wa sasa. Mtajikosesha mengi kwa kukosa umakini kwa namna hii. Kila la heri japo nina shaka kwa uandishi huu kama mtu ataweza amini kama kweli unaenda Chuo Kikuu.