mohammad_othar
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 247
- 42
Kuna ndugu yangu alikua ametoka kutawadha sasa kutoka nje akateleza na akadondokea kichwa upande wa kushoto sasa panauma na pia amesahau lile tukio lilotokea ila vi2 vingine namshukuru Mungu anakumbuka vizuri.
Je kuna msaada wowote naeza mpa ? Na nilimpaka dawa moja ya kisunnah kama mafuta ... sasa amesahau lile tukio lilomtokea je ni sababu gani ?
Maana anasikitika kwamba hakumbuki lile tukio na ombeni msaada wenu wadau.
Je kuna msaada wowote naeza mpa ? Na nilimpaka dawa moja ya kisunnah kama mafuta ... sasa amesahau lile tukio lilomtokea je ni sababu gani ?
Maana anasikitika kwamba hakumbuki lile tukio na ombeni msaada wenu wadau.