Msaada jamani. Jinsi ya kuachana na jambo la Mazoea

Keben

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
725
Reaction score
175
Salaam kwenu wanajukwaa. Nimekua addicted na mchezo wa kubahatisha wa bonanza kiasi cha kuhatarisha uchumi wangu. Hii hutokana na kila ifikapo kuanzia saa 12:00 jioni sina cha kufanya kiasi cha kushawishika kujumuika wa Watu katika mchezo huu. Siwezi kukwepa kutokuwepo maeneo hayo maana mji ni mdogo. Msaada cha kufanya jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta kitu mbadala mkuu kama kutumia muda mwing na mkeo kama umeoa au kama bachela tafuta hobi nyingine kama kucheki muvi n, k
 
Nenda kwa MUNGU yeye huwa hashindwi kitu atakusaidia na hili kwake Ni dogo Sana kuliko unavyofikiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…