msaada jamani kuhusiana na haya mambo ya Tcu

YATIMA WA TCU

Member
Joined
Aug 10, 2013
Posts
58
Reaction score
5
SUA washatoa majina kwa undergraduet wa 2013/2014 tatizo langu lipo hapa chuo kimechagua watu 48 katika program ya agricalture engeniarng na ilikuwa inaitaji watu 60 je naweza kwenda ofisi za tcu na kuomba kubadilishiwa na kupangwa pale?
 
....ngoja waje wana tcu, but mpaka wamefanya maamuzi hayo nadhani vigezo na masharti vilizingatiwa...
 
Nafasi Haijajaa Kutoka Na Vigezo.kama Huna Vigezo Ni Bora Ucpoteze Mda Kuomba.
 
Kwanini wewe wamekuchagua kozi gani? kama umemet minimum requirements jaribu kuandikia tcu barua ya kuomba kubadilishiwa hope utafanikiwa.
 
vigezo na mashariti ninavyo.kwahiyo naandika barua kuituma tcu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…