Wana JF mimi ni muhitimu wa kidato cha nne.mwaka huu nilituma maombi wizarani ya ualimu ngazi ya cheti kwa bahati nzuri nimechaguliwa chuo cha ualimu Tabora. Sasa tatizo ni kwamba joining instruction ya chuo hiki iliyopo mtandaoni inaonyesha mafunzo ya ualimu ngazi ya stashahada na mimi niliomba ngazi ya cheti.sasa hili suala linanichanganya naombeni ufafanuzi kwa anayefahamu.Ninatanguliza shukrani AHSANTENI.