Msaada JAMANI kuhusu mkopo unaotolewa na HESLB....!!?

habari za kuaminika kutoka kwenye mijengo ya HESLB pale mwenge zinasema bwanamkubwa huyo atakuja
SEPTEMBER 16,source m2 mmoja yupo room no 20.
 
Wewe wa wapi??umeskia kitoka kwa bwana wako au??usiturushie stimu na wewe

Unahisi wewe umekamilika kwa kiasi gani mpaka mwenzio anapouliza unamtukana kiasi hiki? Wakati mwingine unaweza ukafikiri ni ujanja lakini kiukweli siyo busara hata kidogo
 
Mambo ya kifaru mweuxi kuongopea watu anayekaa room 20 wala hausiani na mikopo ni secur officer!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…