Msaada jamani kwa anayejua bei za mashine ya kukamua alizeti

Msaada jamani kwa anayejua bei za mashine ya kukamua alizeti

okey

Member
Joined
May 3, 2013
Posts
8
Reaction score
3
Wanajamii foroum nimekuwa nikiwafuatilia sana lkn sikuwahi kama mimi kupost hoja/ombi,kwa kweli mchango wenu ni mkubwa sana katika jamii,naomba mnisaidie mwenzenu nataka kujua bei za mashine ya kukamua alizeti zinauzwa wapi na ni shilingi ngapi kwa seti iliyokamilika?
 
Wanajamii foroum nimekuwa nikiwafuatilia sana lkn sikuwahi kama mimi kupost hoja/ombi,kwa kweli mchango wenu ni mkubwa sana katika jamii,naomba mnisaidie mwenzenu nataka kujua bei za mashine ya kukamua alizeti zinauzwa wapi na ni shilingi ngapi kwa seti iliyokamilika?

Mkuu, nina inside infos kuhusu hili suala. Nipe email address yako nikupe details.
 
Sidhani kama kuna Siri katikaa hizi mashine unless kama si za kukamua alizeti, wewe nenda SIDO na kuna Baadhi ya wahindiwnazo za kutoka India ambazo huwa ni bora sana, kama uko dar huwezi shindwa kupata bei make zinauzwa sehemu nyingi sana, unless kama hauko miji kama Dar, Arusha, mwanza
 
Wanajamii foroum nimekuwa nikiwafuatilia sana lkn sikuwahi kama mimi kupost hoja/ombi,kwa kweli mchango wenu ni mkubwa sana katika jamii,naomba mnisaidie mwenzenu nataka kujua bei za mashine ya kukamua alizeti zinauzwa wapi na ni shilingi ngapi kwa seti iliyokamilika?

Mkuu, nina inside infos kuhusu hili suala. Nipe email address yako nikupe details.

Kwenye forum kama hii swali/ombi kama hilo linaweza fumbua wengine na ukawa umewasaidi wadau milioni kupitia swali/ombi la mdau mmoja, labda uniambie kuna kamchezo unakusudia kukafanya kautapeli sasa unahofia wadau watabumburuwa.
 
Sidhani kama kuna Siri katikaa hizi mashine unless kama si za kukamua alizeti, wewe nenda SIDO na kuna Baadhi ya wahindiwnazo za kutoka India ambazo huwa ni bora sana, kama uko dar huwezi shindwa kupata bei make zinauzwa sehemu nyingi sana, unless kama hauko miji kama Dar, Arusha, mwanza

kwa sasa niko mbeya mkuu wangu ndio maana nikaja moja kwa moja kwenu
 
Mkuu, nina inside infos kuhusu hili suala. Nipe email address yako nikupe details.

mkuu kwaki kuna siri gani ukisema hadharani au hizo ulizo na inside info zinabadili mafuta ya alizeti kuwa cocain nn??
 
Mwaka jana niliulizia kwenye maduka ya wahindi, mitaa ya indira gand Dsm niliambiwa machine yenye uwezo wa kukamua tani 6 kwa siku ni milion 6. sikuuliza detail zaidi sababu nilikuwa bado sijajiandaa
 
email zinarudi, tafadhali angalia email address yako.
 
Kidatu Mkuu

haya mambo ya ubinafsi ndio yanatekeza taifa letu. Kuna ubaya gani ukiweka hapa majibu. Hivi hata wanaoweka matangazo ya kazi, opportunity za biashara wangekuwa na moyo kama wako tungeishi? hebu tubadilike jamani kumwonyesha mtu njia kunawasaidia na wengine na hakukupunguzii kitu.
 
Jamani nashindwa ku-upload hiyo link hapa JF, lakini kwenye email zinakubali. Safari-n- safari na Kinyau nipeni email zenu niwatumie then kama mnaweza ku-upload itasaidia sana. Sina sababu ya msingi ya kuto-share infos hapa JF kwani sote tupo hapa kwa lengo la kujifunza na kusaidiana.
 
Mwaka jana niliulizia kwenye maduka ya wahindi, mitaa ya indira gand Dsm niliambiwa machine yenye uwezo wa kukamua tani 6 kwa siku ni milion 6. sikuuliza detail zaidi sababu nilikuwa bado sijajiandaa
nashukuru sana mkubwa ,natumai hamtaniacha katika hili
 
nashukuru sana mkubwa ,natumai hamtaniacha katika hili

Ningependa kusaidia wengi lakini nashindwa ku-upload hii link. Tafadhali kama utaweza ku-upload nipe email nikutumie ili ujaribu kuimwaga hapa jamvini kwa faida ya wote.
 
Kidatu mtumie Mkuu invisible atasaidia kuupload
 
wanajamii wenzangu jana nilifanikiwa kuongea na mzee mmoja kutoka SIDO hapo Dar ambaye anatengeneza hizi machine,alisema kwa mashine inayoweza kukamua 200kg kwa saa,inauzwa kwa 4.5mil na unatoa order ya mwezi mmoja na nusu,hiyo bei ni pamoja na moter yake.nashukuu sana wadau
 
mtaa wa india/zanaki dar zipo kibao kutegemea na capacity unayohitaji nenda kaulize bei.
 
Back
Top Bottom