Msaada jamani.Maumivu ni makali sana

tizo1

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2011
Posts
856
Reaction score
145
Habari za kazi madaktari.Nina maumivu makali sana ya tumbo katika upande wa kulia wa tumbo,pale zinapoishia mbavu kwa chini kidogo.Hali hii pia ilitokea mwaka 2008 nikiwa morogoro.miongoni mwa dawa zilizonisaidia ni Ciprofaxin.je tatizo ni nini?
 
umecheck kidole tumbo?

Hapo upo sawa kabisa kwa kuanzia, lakini pia inaweza kuwa tatizo lipo kwenye kibofu cha nyongo au njia zake(biliary tract) au hata figo(acute pyelonephritis) lakini hii inaambatana na homa na pengine mkojo wenye rangi ya pepsi. Sasa cha kufanya kama upo karibu na hospt. kubwa nenda wakakucheck ili kuwa na uhakika. Kama una diclofenac nyumbani hapo meza itulize maumivu wakati ukifanya mchakato wa kwenda hospt.
 

sawa nashukuru.nitafanya hivyo.nitaleta ripoti.
 

Tizo1, umeona alivyokujibu Mrimi? anasema: ''lakini hii inaambatana na homa na pengine mkojo wenye rangi ya pepsi.'' , kwanini mkojo wenye rangi hiyo? ni kwa sababu unasubiri kiu ndipo unywe maji.

‘Mwili wa binadamu unapopungukiwa maji hutoa ishara (indicators), tumeziita ishara hizo kuwa ni magonjwa, hauumwi, una kiu, usiitibu kiu kwa madawa – dr. Batmanghelidj'.


Kunywa glasi 1 ya maji (ml 250) kila baada ya masaa 3, halafu urudi kutujuza hali yako. bonyeza hapa kujifunza zaidi kuhusu maji: http://maajabuyamaji2.artisteer.net/
 

asante sana.nimepita kwenye hiyo address nitayafanyia kazi maelezo na nitaleta ripot hapa....
 
kama tatizo ni kibofu cha nyongo dawa yake ipi au ufanye nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…