msaada jamani maumivu ya kichwa

Joined
Aug 23, 2013
Posts
71
Reaction score
10
dr's naombeni msaada kwa tatizo langu. Nasumbuliwa na ugonjwa ambao hata nashindwa kueleza! wiki ya tatu sasa nasumbuka kichwani upande wa kulia karibu na sikio maumivu nayapata sana nimeenda hospital kupima wanadai nna presha 147/91 na 78 sasa sijielewi umri huu na presha juu wapi na wapi. Dawa hazileti matumaini japo nameza kila siku panado ikiisha nguvu shida maumibu balaaa nifanye je?
 

Maumivu ya Kichwa

Uchukuwe unga wa Habbat-Sawdaa gramu 30 , karafuu iliosagwa nusu ya kiwango cha Habbat-Sawdaa na anisuni (anise) gramu 20, halafu achanganye pamoja. Achukue kiasi cha kijiko kimoja (cha chai), wakati wa kuumwa na kichwa, na ale na maziwa lala (mala), pamoja na kupasugua mahala paumapo kwa mafuta ya Habbat-Sawdaa .

Dawa zote zinapatikana kwenye maduka ya wanayouza Dawa za kisunna kaulize utapata.

 

Attachments

  • habbat sawda.jpg
    21.1 KB · Views: 154
Aksante mkuuu ngoja nizitafute dawa
Imepita Muda tangu nije na huu uzi. Kiukweli kidogo nichungulie kaburi kwa maumivu ya kichwaaa.



Kwanza kabisa ni kuwa nilianza kuhisi maumivu ya kichwa usiku mmoja nikiwa nimelala nilichukulia poa kwa kuwa maumivu ya kichwa ni kawaida. Sasa asubuhi niliwahi kibandani kuchukua Panadol nikameza baada ya masaaaa 3 nikahisi maumivu tena nikameza. Ikawa sasa ni utamaduni hadi siku ya tatu nilikuwa nimeshameza panadol nyingi tu. Muuza panadol ikabidi aulize hizo panadol mnawapelekea kuku? Hapana tunampelekea mgonjwa. Ilibidi awanyime hadi wamlete mgonjwa kwake ili amuone. Nilienda nikamhadithia mkasa wote akawa na wasiwasi kuwa nitakuwa na presha. Akashauri nikapime presha siku hospitali nilienda nikiwa nimemeza panadol na kwa mara ya kwanza nilipopima sikuwa na ugonjwa wowote hadi daktari akashangaaa baada ya dawa kuisha nguvu maumivu ya kichwa yakaanza ndipo nikaenda tena kwa daktari. Awamu hii presha ilikuwa imepanda kidogo akasema hilo ndo tatizo.......itaendelea
 
Aksante mkuuu ngoja nizitafute dawa
Imepita Muda tangu nije na huu uzi. Kiukweli kidogo nichungulie kaburi kwa maumivu ya kichwaaa.



Kwanza kabisa ni kuwa nilianza kuhisi maumivu ya kichwa usiku mmoja nikiwa nimelala nilichukulia poa kwa kuwa maumivu ya kichwa ni kawaida. Sasa asubuhi niliwahi kibandani kuchukua Panadol nikameza baada ya masaaaa 3 nikahisi maumivu tena nikameza. Ikawa sasa ni utamaduni hadi siku ya tatu nilikuwa nimeshameza panadol nyingi tu. Muuza panadol ikabidi aulize hizo panadol mnawapelekea kuku? Hapana tunampelekea mgonjwa. Ilibidi awanyime hadi wamlete mgonjwa kwake ili amuone. Nilienda nikamhadithia mkasa wote akawa na wasiwasi kuwa nitakuwa na presha. Akashauri nikapime presha siku hospitali nilienda nikiwa nimemeza panadol na kwa mara ya kwanza nilipopima sikuwa na ugonjwa wowote hadi daktari akashangaaa baada ya dawa kuisha nguvu maumivu ya kichwa yakaanza ndipo nikaenda tena kwa daktari. Awamu hii presha ilikuwa imepanda kidogo akasema hilo ndo tatizo.......itaendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…