Msaada jamani mwenye connection na Ma HR wa viwanda anisaidie kuniunganisha

Msaada jamani mwenye connection na Ma HR wa viwanda anisaidie kuniunganisha

Joined
May 19, 2020
Posts
24
Reaction score
31
Nawasalimu sana mim ni kijana mwenyeji wa mikoa ya kanda ya ziwa nlizaliwa miaka ya 90's baba yangu alikuwa ni mfanyakazi wa idara ya maji miaka hiyo ila tulivoambiwa na mama yetu kuwa aliachaga kazi yey mwenyew baada ya kuacha kazi alipewa hera yake akatoa nusu akaja dar akanunua kiwanja na kujenga temporally house then akaelekea Tanga akadai anaenda kununua mgodi na kuchimba madini

Alikaa huko akapotea baada ya muda ndugu yake alimfata huko akampata kachakaa balaa anadai pesa yote katapeliwa na matapeli baada ya hapo alirejea mjini sis na mama yetu tukaelekea kijijini tukamwacha mjini tulipofika huko tukaanza darasa la kwanza hadi la saba tukafahuru kidato cha kwanza tukasoma hadi form four nikapata iv31 mwenzangu iv30 baadae tukaja dar tukajiunga na centre ya kurudia mitihani tukampata mfadhili akasema rudieni mtafute hizo C3 Mipata nawapeleka kidato cha tano nikakomaa nikafanya mtihani nikaambulia C2 yaan iv point 27 yule mfadhili akasema rudia tena nliporudia nikapata C3 kwa mkupuo akaniambia kachukue form kidato cha tano jitegemee mgulani au mbezi beach high nlipochukua baada ya muda akaniita na kuniambia sitoweza kukulipia hada tena kazini kwetu kampuni imeuzwa sina kazi tena

Iliniuma sana nikaachana na mambo ya shule nikawa natafuta vibarua nikaenda hadi kwa wachina unafanya kazi daily jioni unalipwa 2500 baada ya hapo mambo yakawa magumu nikaamua kurudi kijijini nikawa naendelea na kilimo mala nikapata mfadhili akasema nikachukue form chuo cha ualimu nikaenda nikachukua baada ya muda akaniambia atoweza kunilipia chuo maana mambo yameenda vibaya

Nkakata tamaa kabisa nkakaa kijijini muda mlefu mwisho nkaamua nitafute nauli nije mjini nitafute kibarua hera ntakayopata nijiunge na chuo cha ufundi nipate ujuz ata wa mashine

Nikaja dar nikazunguk sana sipati kibarua nikapata hadi kazi za kutembeza vyombo nikaja nikapata kiwamda flani wakaniambia nitoe 40,000 wanipe kazi nikatoa 20 nikaanza kazi nikafanya kazi kwa muda wa miezi 18 tukilipwa4000 per day nikawa naweka vihera kwenye cm najichanga.

Baadae nikafanya mtihani wa kujiunga na chuo cha ufundi chang'ombe bahati nzuri jina langu likapata nafasi nmesoma miaka miwili fani za mitambo namshukuru Mungu nmemaliza mwaka jana ila bado sijafanikiwa kipata kibarua naomba mwenye connection na ma Hr anisaidie

Nina weza kuoperate mashine
Kufanya maintanence
Kuchonga
Kuchomelea

Ntashukuru sana jamani mambo magumu
 
Duh kwanza hongera kwa kupambana.
Ngoja nitakupa link ya group la telegram linalohusu matangazo ya kazi ili ujiunge na kuomba kazi mbalimbali.
Nawasalimu sana mim ni kijana mwenyeji wa mikoa ya kanda ya ziwa nlizaliwa miaka ya 90's baba yangu alikuwa ni mfanyakazi wa idara ya maji miaka hiyo ila tulivoambiwa na mama yetu kuwa aliachaga kazi yey mwenyew baada ya kuacha kazi alipewa hera yake akatoa nusu akaja dar akanunua kiwanja na kujenga temporally house then akaelekea Tanga akadai anaenda kununua mgodi na kuchimba madini

Alikaa huko akapotea baada ya muda ndugu yake alimfata huko akampata kachakaa balaa anadai pesa yote katapeliwa na matapeli baada ya hapo alirejea mjini sis na mama yetu tukaelekea kijijini tukamwacha mjini tulipofika huko tukaanza darasa la kwanza hadi la saba tukafahuru kidato cha kwanza tukasoma hadi form four nikapata iv31 mwenzangu iv30 baadae tukaja dar tukajiunga na centre ya kurudia mitihani tukampata mfadhili akasema rudieni mtafute hizo C3 Mipata nawapeleka kidato cha tano nikakomaa nikafanya mtihani nikaambulia C2 yaan iv point 27 yule mfadhili akasema rudia tena nliporudia nikapata C3 kwa mkupuo akaniambia kachukue form kidato cha tano jitegemee mgulani au mbezi beach high nlipochukua baada ya muda akaniita na kuniambia sitoweza kukulipia hada tena kazini kwetu kampuni imeuzwa sina kazi tena

Iliniuma sana nikaachana na mambo ya shule nikawa natafuta vibarua nikaenda hadi kwa wachina unafanya kazi daily jioni unalipwa 2500 baada ya hapo mambo yakawa magumu nikaamua kurudi kijijini nikawa naendelea na kilimo mala nikapata mfadhili akasema nikachukue form chuo cha ualimu nikaenda nikachukua baada ya muda akaniambia atoweza kunilipia chuo maana mambo yameenda vibaya

Nkakata tamaa kabisa nkakaa kijijini muda mlefu mwisho nkaamua nitafute nauli nije mjini nitafute kibarua hera ntakayopata nijiunge na chuo cha ufundi nipate ujuz ata wa mashine

Nikaja dar nikazunguk sana sipati kibarua nikapata hadi kazi za kutembeza vyombo nikaja nikapata kiwamda flani wakaniambia nitoe 40,000 wanipe kazi nikatoa 20 nikaanza kazi nikafanya kazi kwa muda wa miezi 18 tukilipwa4000 per day nikawa naweka vihera kwenye cm najichanga.

Baadae nikafanya mtihani wa kujiunga na chuo cha ufundi chang'ombe bahati nzuri jina langu likapata nafasi nmesoma miaka miwili fani za mitambo namshukuru Mungu nmemaliza mwaka jana ila bado sijafanikiwa kipata kibarua naomba mwenye connection na ma Hr anisaidie

Nina weza kuoperate mashine
Kufanya maintanence
Kuchonga
Kuchomelea

Ntashukuru sana jamani mambo magumu
 
Hiyo ni link ya telegram.
Wewe umedownload application ya Telegram kwenye simu yako?Ingia playstore download telegram halaf ndio baadae utumie hii link
M
Mkuu tafadhali nami nahitaji kujiunga lakini nimejaribu nimeshindwa, please help me
 
Viwanda vp mkuu!! nenda kwanza kapige kuraa
 
Hiyo ni link ya telegram.
Wewe umedownload application ya Telegram kwenye simu yako?Ingia playstore download telegram halaf ndio baadae utumie hii link
Shukrani mkuu, nimefanikiwa Ni group zuri Sana litanifaa, Kuna tangazo la kazi ambalo linanihusu na daedline ilikuwa Jana, natamani ata ningejiunga jana
 
Mtoa mada kweli umepambana, Mungu anaona bidii yako na atakubariki usikate tamaa endelea kukaza buti utafanikiwa tu.
 
Back
Top Bottom