msaada jamani na ushauri pia

1000 words

Senior Member
Joined
Dec 29, 2012
Posts
169
Reaction score
32
habari zenu...samahani nina rafiki yangu amesoma certificate then diploma na sasa hivi angetakiwa awe anaingia degree tatizo ni matokeo yao ya chuo alichokuwa anasoma ya diploma yamechelewa kutoka ndo yametoa juzi tu na alikuwa anataka kuunganisha degree lakini hajui aombeje chuo sababu TCU hawaombi tena sasa hajui afaanyaje msaada jamani kama kuna njia nyingine ili aweze kuendelea degree sasa hivi na si kusubiri mwakani tena.... naombeni ushauri wenu na msaada wenu
 

mkuu am assuming huyo jamaa yako alifeli 4m4 thats why he went for certificate then laiter diploma....sasa mwambie asijisumbue kwenda degree coz its imposible without three passes from his 4m4 results ata kama ana diploma...aka rudie kwanza mtihani wa 4m4 akifaulu ndo atumie cheti cha diploma aingie degree....au labda kama utaratibu umebadilika sikuhizi
 

no hakufel 4m 4 basi 2 aliamua kwenda chuo certifiacte na diploma afu ndo aingie degree ...msaada jaman
 
aha,aombe digrii katika hicho chuo,kama kuna uwezekano atapewa,katika chuo hicho alichosoma
 
aha,aombe digrii katika hicho chuo,kama kuna uwezekano atapewa,katika chuo hicho alichosoma

kinatoa degree mkuu ni tumaini branch ya moshi but hataki tena kukaa moshi coz amesoma certificate na diploma hapo xo now degree anatamani kuhama chuo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…