Msaada jamani nahisi vitu vinanitembea mwili mzima vinanichoma kama misumali!

ufumawicha

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
504
Reaction score
209
Nimejaribu kupima vipimo karibuni vyote vya damu majibu hakuna ugonjwa!Sasa ajabu mwili wote umejaa vitu kama misumali vinanichoma sana.Ushauri tafadhali!!!
 
pole sana mkuu nenda haraka ukapime ukimwi, hata mimi walinishauri hivyo madokta wa hapa!
 
pole sana mkuu nenda haraka ukapime ukimwi, hata mimi walinishauri hivyo madokta wa hapa!

Acha mzaha mkuu, mwenzako anaomba ushauri unamwambia akapime ukimwi...wewe ndo ulikua unatakiwa ukapime na oral candidiasis uliyokua nayo
 
ufumawicha!

Kwanza kapime kiwango cha 'uric acid' mwilini mwako, lete majibu apa jamvini, nasi tutakushauri
 
pole sana mkuu nenda haraka ukapime ukimwi, hata mimi walinishauri hivyo madokta wa hapa!

Kaka nakukumbusha huwa hatupimi ukimwi,tunacheki HIV kama ni positive au negative!Mimi nilicheki majibu ni negative
 
ukwa unajrb kuchukua vpmo kujua tatzo nin jarb pia kuhudhuria maombi,,,fuata ushaur wa madaktar huk ukfanywa maombez nina iman utapona!pole sna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…