Msaada: Jamani namuota sana Rais Magufuli

Kitaalamu unaonekana una nyota ya ulinzi.. Nenda ukajiunge na shirika lolote la ulinzi
 
Ooh mkuu ilo pepo kemea

Ivi hauna vitu vya kuota mpaka uote vitu vya ajabu namna io?

Kina sasha obama huwaon uwaote?
 
Jamani no zaidi ya miezi sita sasa haipit siku tatu bila kumuota raisi MAGUFURI,mala niote eti Mimi ni mmoja wawalinzi wake wanaomlinda nahii si mala moja naota.wataalamu wa ndoto nisaidieni hapa tafadhari!!
Unaingiliwa , nenda kwa mganga uaguliwe. ukiamka asubuhi jipapase uhakikishe! Ndoto yako siyo nzuri kuna kitu unafanyiwa na mwanaume mwenzako, kama mwanamke unaingiliwa kinyume. Uaguzi wangu umeniambia hivyo
 
Omba sana,,,hiyo ndoto inauhusiano na nyota yako


Omba kuifuta hiyo ndoto

Pia mwalimu wakasege kawahi kufundisha kuna watu wameshikiliwa na madhabahu iliyo juu( yaani sio ya mchezo mchezo ya hawa wachawi wadogo), akasema dalili zake ni kuota ndoto uko na wakuu mbali mbali. Mwingine anaota kabisa yuko na Obama au Trump. So unahitaji kuomba sana mdogo wangu


Sidhani kama kuna haja ya kumkebehi mtoa Mada,
 
Unashauriwa ukila makande usiku ukae walau saa nzima ili mmeng'enyo uwe umefika mahali otherwise utakuja kuota umekalia kitu chenye nchi kali.
 
Naona unataka kujua kwanini Lema alikaa banzi miezi minne. We endelea kuota tu na ukifikia stage ya Lema usimulie tu ndoto yako
 
Kama wewe ni mfanyakazi wa serikali halafu una marupurupu mengi jiandae kutumbuliwa uishi kama shetani.
 
Jamani no zaidi ya miezi sita sasa haipit siku tatu bila kumuota raisi MAGUFURI,mala niote eti Mimi ni mmoja wawalinzi wake wanaomlinda nahii si mala moja naota.wataalamu wa ndoto nisaidieni hapa tafadhari!!

ngoja nijribu kutafsiri
Hii inaonyesha siku si nyingi uchumi wako unaenda kuteteleka vibaya usipo kazana kufanya kazi.lakin pia biashara zako zitayumba sana.na kama unatarajia biashara ya kilimo acahana na matikiti.usijaribu kufuga kuku kwani inonyesha watakufa.na mwisho naona kama mwenye nyumba atauza nyumba yake .na mnunuzi anataibomoa na kijenga stor ya kuhifadhia mizigo yake.pia naona kama mahusiano yako ya kimapenzi yataenda kudhoofika na huenda ukapigwa chini kwa style ya kukudharirisha.kwa upande wa wanaokidai watakushupalia sana.na wengine watakuja kuchukua vitu vyako vya ndani


si ndiyo wanavyodanganyaga kama hivyo?
 
KUNA AINA NNE ZA NDOTO,
1.NDOTO ZA MUNGU
2.NDOTO ZA SHETANI
3.NDOTO ZINAZOLETWA NA SHUGHULI UNAZOFANYA KILA SIKU
4.NDOTO ZINAZOKUFAHAMISHA HALI YA KIROHO SEHEMU ULIKO.

Sasa ili uweze kufaham kwamba ndoto yako iko wapi ktk haayo makundi....(NA BASE CHRISTIAN SPIRITUALITY TU) na sikupi majibu ya moja kwa moja...ila nakupa HOME WORK.....
Huwez faham maana ya ndoto bila kuwa na uelewa mzur wa Biblia....waweza gues tu ukawa na majibu machache lkn majibu ya msingi yapo ndani ya Biblia....na mtu ambaye huwa hapat ndoto hyo ni hatar....coz naamin Mungu huwa anaongea sana na watu wake kupitia Ndoto..

DOWNLOAD VIDEOS ZA MWALIMU MWAKASEGE ....KTK SOMO LINALOONGELEA......NAMNA YA KUWEZA KUTAFSIRI NDOTO.....you will enjoy...na utakuwa ktk nafasi nzur sana kumuelewa Nani anaongea na wewe ktk ulimwengu wa kiroho...kama tujuavyo kwamba Ulimweng wa kiroho ndo unao control everything here in the world.....
Baada ya kusikiliza...rudi humu tuambie nin bado kikwazo ktk ndoto zako....tutakusaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…