HahahaUtamfuata Lema Kisongo.
Unaingiliwa , nenda kwa mganga uaguliwe. ukiamka asubuhi jipapase uhakikishe! Ndoto yako siyo nzuri kuna kitu unafanyiwa na mwanaume mwenzako, kama mwanamke unaingiliwa kinyume. Uaguzi wangu umeniambia hivyoJamani no zaidi ya miezi sita sasa haipit siku tatu bila kumuota raisi MAGUFURI,mala niote eti Mimi ni mmoja wawalinzi wake wanaomlinda nahii si mala moja naota.wataalamu wa ndoto nisaidieni hapa tafadhari!!
Unataka kumung'unyuliwa...Subili mshana aje utumung'unyulie mambo
Jamani no zaidi ya miezi sita sasa haipit siku tatu bila kumuota raisi MAGUFURI,mala niote eti Mimi ni mmoja wawalinzi wake wanaomlinda nahii si mala moja naota.wataalamu wa ndoto nisaidieni hapa tafadhari!!