Aliyekatanasema hivi kwa kuwa nimekatwa karibu miezi tisa bila mkataba nao shirika la bima, sasa nataka kufungua kesi mahakamani, kisheria natakiwa nimshitaki branch manager wa mkoani kwangu aliyeprocess makato hayo au nimshitaki mtendaji mkuu wa bima? naomba msaada wenu mnaojua sheria.
Aliyekata sio mkurugenzi wala mkuu ila ni shirika la bima, hivyo liandikie demand letter ukieleza nia ya kuwaishtaki kama hawata kulipa hela unayotaka kwa kipindi cha muda fulani, then wakikiuka matakwa yako unawafungulia kesi moja kwa moja mahamakamaninasema hivi kwa kuwa nimekatwa karibu miezi tisa bila mkataba nao shirika la bima, sasa nataka kufungua kesi mahakamani, kisheria natakiwa nimshitaki branch manager wa mkoani kwangu aliyeprocess makato hayo au nimshitaki mtendaji mkuu wa bima? naomba msaada wenu mnaojua sheria.
Mshitak huyo. Branch manager wako au kwa kifup mshitak mkubwa wako wa kaz hapo unafanyia kaz na cyo Mkurugenz ambaye yupo mbali kwa sbabu kweny kesi kuna territory jurisdiction shitak mtu mgogoro ulipo tokeanasema hivi kwa kuwa nimekatwa karibu miezi tisa bila mkataba nao shirika la bima, sasa nataka kufungua kesi mahakamani, kisheria natakiwa nimshitaki branch manager wa mkoani kwangu aliyeprocess makato hayo au nimshitaki mtendaji mkuu wa bima? naomba msaada wenu mnaojua sheria.