Msaada jamani nduguzanguni.

Mkuu usiwe kam sio msomi... Na huyo dada yako huenda hajui anachofanya chuoni au hata chuo kapata na kufika hapo kwa magumashi au kudesa... Research si swala la kuandika na kumaliza chuo... Kwa mtu anaependa kusoma na anae jua nini maana ya elimu ya juu anapaswa kufanya research kweny topic/course ambayo anahisi ana future nayo, au juu current problem kwa wakati husika. Kwa mfano kama anaplan ya kufanya masters ya commercial law afanye rearch juu ya hiyo kitu, elimu ya juu ni all about proffesionalism not certificates.
 
Activista safi sana, nimelipenda sana jibu lako kwa huyu ndugu yetu. Ukweli awali nilipoliona swali la mwenzetu nilikwazika sana sababu nililiona sio swali la msingi. Ingawa pia ni haki ya mtu kuomba ushauri au kuuliza. Kitu kilichonikwaza ni kwamba nilihisi Elimu ya Tanzania sasa imeshafikia kutokutusaidia katika kutatua matatizo bali ni kutuletea matatizo. Manake mtu ambaye alimefika Chuo Kikuu kuuliza swali kama hilo ni bora kumtilia mashaka yeye pamoja na hicho chuo anachosoma. Plz jamani tuulize maswali ambayo kweli yanaleta changamoto itayosaidia taifa hili kufika sehemu ambayo tunaihitaji. Samahani Kitumanga kama nimekukwaza lakini nazani pia wewe umetukwaza wengi kuuliza swala kama hili kwa niaba ya huyo dada yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…