yes you may however the reason must be sufficient.
unaweza kuandika barua kwa magisrate incharge then ata kuasign kwa magistrate mwingine.
The problem ni kwamba utachelewesha shauri lako kufikia finality basing on my experience shauri laweza kuanza upya
Kabla ya kuandika barua unaweza sema tu kwa mdomo mahakamani siku ya kesi inapotajwa..kwamba ninaomba hakimu fulani usiendelee kusikiliza shauri langu kwa sababu hizi na hizi zinazopelekea mimi (wewe) kutokuwa na imani na wewe..barua ni ya kawaida tu ya kikazi, ni ya kawaida tu na siyo ya kisheria kwamba ihitaji utaalamu japokuwa unaweza kumwona mwanasheria akusaidie kuiweka vizuri zaidi..ila ni barua ya kawaida tu