ALWATAN KIZIGO
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 539
- 644
Leo nimetoa pesa NMB ATM mashine imehesabu lakini haikutoa pesa na risiti imeonesha pesa zimetoka nimeenda kwa customer care wao akaniambia watanirudishia lakuni hadi leo haijsrudi hiyo pesa nataka nikawashtaki nifuate procedures gani jamani nisaidieni plz.