ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Wana JF niokoeni mwenzenu, niko Mpanda ambako chanjo za kuku hazipatikani sana. Nishaurini njia rahisi za kienyeji za kulea vifaranga kwani huo ni mtihani ambao umenishinda nami nataka kuwa na kuku hadi 1000 kwani kwa sasa nina jogoo 3 na jike 12. TATIZO KULEA VIFARANGA HADI VIKUE NDIYO MTIHANI HATA INGAWA NINA BANDA.