sasa kama mm wa CBG, cjui itakuwaje, vp mfano nikia apply saiv kupitia nacte vp ntaenda kusoma mwaka huu?
sasa kama mm wa CBG, cjui itakuwaje, vp mfano nikia apply saiv kupitia nacte vp ntaenda kusoma mwaka huu?
Njoo tusome kampala university nafasi za bachelor bado zipo,sasa kama mm wa CBG, cjui itakuwaje, vp mfano nikia apply saiv kupitia nacte vp ntaenda kusoma mwaka huu?
Jaman mm nimemaliza kidato cha 6,na nikaapply then tcu,wakaniambia niapply second round,lakn course zilizo ckuzitaka na mm nataka kuchukua mambo ya afya,na nimesoma CBG na point 12, baada ya hapo ckuapply,najua ntakosa nafas.sasa mnisaidie ntapawapi chuo hata nikasome diploma ya nesing au chuo cha ualimu.nisaidien jamani[/QUOT
apply udom wameanzisha diploma au st john
wahi st francis ifakara niliona bado wanachukua diproma ya afya