msaada jamani pliz

Inaelekea mumewe ni mtu wa totoz so akiwa ameathirika anaondoa ule uwezekano wa mumewa kumla!
tahadhari: kama mumeo atasema potelea mbali akapiga kavukavu na ww kwishney " be eyez""


ahahhahahaha kwaweli nimecheka sana...wanaume kwakweli mnafanyaga wanawake wawe wanawaza kama majasusi na kutenda kama majambaz, nampa pole huyo mume mtu lol
 
itakuwa mumewe hampi yaani walishageuziana migongo siku nyingi, so unataka kusafiri umuache home na mumeo uje ukute kamegwa!!!wanawake ni watu wa ajabu sana duh!!!!!!!!!!!usijali ugomvi wenu utaisha tuu, kweli mke sio ndugu ni rafiki
 
milembe hosp ileeeeeeeeeeeeee naona umezidiwa.:welcome:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…