Dumelang
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 3,204
- 5,710
labda sijajua vizuri, kila nikipata kitu kizuri na ku add kwenye curt naambiwa the item does not ship to your destination, sasa hiz bidhaa zao zinakuwa shipped wapi kama huku kwetu haziji au kuna sehemu nakosea?.
Pili kwa wale mnaofamu kuhusu kodi, kwa mf. LED tv 32" kodi ntalipia sh. ngap? nikinunua nje, na je haina usumbufu?
Tatu, nahtaji na mengineyo yatakayonipa mwanga kuhusu buying online nisaidieni, ni mara ya kwanza nataka kujaribu hii kitu, pia apart from amazon na e bay ambao pia nimekutana na kadhia kama hii, je kuna web nyingine nzuri for shopping?
lengo langu nikununua flat screen tv na electronics nyingine huko nje naona ka ni cheap.
MSAADA KWA AJUAYE.
Pili kwa wale mnaofamu kuhusu kodi, kwa mf. LED tv 32" kodi ntalipia sh. ngap? nikinunua nje, na je haina usumbufu?
Tatu, nahtaji na mengineyo yatakayonipa mwanga kuhusu buying online nisaidieni, ni mara ya kwanza nataka kujaribu hii kitu, pia apart from amazon na e bay ambao pia nimekutana na kadhia kama hii, je kuna web nyingine nzuri for shopping?
lengo langu nikununua flat screen tv na electronics nyingine huko nje naona ka ni cheap.
MSAADA KWA AJUAYE.