Habari zenu wanajamvini, naombeni ushauri mwenzenu kila nikila kitu naenda kuharisha kuanzia jumatatu msaada jamani ni ugonjwa gani kabla sijaenda hospital
utakuwa na infection tumboni, yaweza kuwa amoeba, typhoid ama ambayo inafanana nayo. ukienda kituo cha afya ni rahisi kwao kukupa dozi itakayoendana na tatizo husika baada ya kuchukuliwa vipimo.