mm mwalimu s school nimetumabarua pamoja na cheti cha ndoa naomba kumfuata mume wangu kwa maa ya kuhamia aliko ilia nabaniwa na mabosi je nifanyeje naambiwa nitafute mwalimu mbadalanimpereke ndo mi nipate kuhama sitendewi haki
Zamani ili mwalimu
apate uhamisho
kirahisi walikuwa
wanafoji vyeti vya
ndoa.....wanavipeleka
wilayani uhamisho
unafanyika faster!!
sasa wewe una ndoa
halali unazubaa nini??
nenda kwa REO, kama
DEO anakuzengua!!
Zamani ili mwalimu
apate uhamisho
kirahisi walikuwa
wanafoji vyeti vya
ndoa.....wanavipeleka
wilayani uhamisho
unafanyika faster!!
sasa wewe una ndoa
halali unazubaa nini??
nenda kwa REO, kama
DEO anakuzengua!!