Msaada jamani wanajamvini

Sina pa kwenda

Senior Member
Joined
Nov 18, 2010
Posts
113
Reaction score
15
Habari zenu wanajamvini, mie nina dogo wangu mmoja alikuwa anapply via tcu sasa ikawa inamgome sana akaenda tcu walikuwa pale viwanja vya posta wakajaribu nae wakaona kweli inagoma alikuwa anaapply cbe evening undergraduate sasa yeye inakuwaje kwenye suala zima la kujua kama kachaguliwa au laah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…