Ndugu zangu naombeni mnipe ushauri wenu kuhusu hili taizo ambalo la kiafya ambalo limekuwa kikisumbua mara kwa mara, tatizo lenyewe linausu kupata choo kigumu mara kwa mara na matokeo yake kufanya nipate maumivu makali ambao uchukua muda kupoa katika sehemu ya kutolea haja, msaaada pls..............