Jitahidi kunywa maji kwa wingi,matunda kama maembe,ndizi,Papai ni muhimu uyale kabla ya chakula hii itakusaidiandugu zangu naombeni mnipe ushauri wenu kuhusu hili taizo ambalo la kiafya ambalo limekuwa kikisumbua mara kwa mara, tatizo lenyewe linausu kupata choo kigumu mara kwa mara na matokeo yake kufanya nipate maumivu makali ambao uchukua muda kupoa katika sehemu ya kutolea haja, msaaada pls..............
Kama hali hiyo inatokea mara kwa mara basi inabidi ubadilishe utaratibu wako wa maisha. Ongeza kunywa maji (lakini usizidishe 2,5l per day), usile ugali chapati na mikate sana. Ongeza fruits na veggies, hasa machungwa. Iwe ni kawaida yako abisa. Pia fanya mazoezi ya abdominals, yanaongeza flow ya damu in the bowels na ku-accelerate digestive system.ndugu zangu naombeni mnipe ushauri wenu kuhusu hili taizo ambalo la kiafya ambalo limekuwa kikisumbua mara kwa mara, tatizo lenyewe linausu kupata choo kigumu mara kwa mara na matokeo yake kufanya nipate maumivu makali ambao uchukua muda kupoa katika sehemu ya kutolea haja, msaaada pls..............