Ndg naomba rudia kwa ufasaha utaielewa! Hakuna sehemu niyotaja madhara. Nahitaji dalili anazokuwa nazo mwanamke anayetumia vidonge au sindano za majira( uzazi wa mpango)sijaelewa....unataka kujua dalili au madhara?....hebu fafanua kidogo
Shukrani sana, jumapili njema.mm sio mtaalamu bali wifi yangu aliniambia kua unatoka damu kidogo kidogo kila cku yani yani hauko free from blood kama wanawake wenzio ambao watakua na 4 au 7 kwa wale wenye cku ndefu ila ww ni kila siku lazima matone ya damu unayo kama kawa yani dalili zingine cjui