Msaada jamani

Sina pa kwenda

Senior Member
Joined
Nov 18, 2010
Posts
113
Reaction score
15
Habari zenu wanajamvini! Nauliza tu jamani, nimemaliza Diploma - Business Administration- CBE pale mwaka 2011, sasa nataka mwakani nijoin chuo kwa ajili ya diploma ila nataka nijoin UDSM au IFM, maana nina B nne ya miaka yote miwili ambayo nimesoma na C almost 16. naomba msaada wenu ili nijui kama naweza pata au niangaike na vyuo vingine.
 
Kama umeweza kuingia JF unashindwaje ku browse kwenye website yao kisha uangalie criteria wanazotumia ku admit wanafunzi wapya?
 
asante mkuu, ila nimeuliza wenda watu wanajua na kutokana na majibu niliyowapa mtu anaweza akashauri labda nenda huku au hapa utapata
 
Umesema una diploma then unataka tena kujoin diploma how? Sikuelewi you should be eyeing a abachelor degree!
 
Aisee,diploma mara ikaenda ikarudi eleweka basi atleast hata pale tulipo tuanze utaratibu wa kusaidiana...kama inawezekana
 
sorry jamani siunajua watu tunapitiwa, nataka nijoin bachelor nimemaliza Diploma mwaka huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…