Mimi nina tatizo na uso wangu jamani,.yaani una mafuta kiasi kwamba napata chunusi na m nt looking gud 4 real,.hamna ht lotion inayonikubali cz nyingi zina mafuta,mpaka inafikia na2mia lotion za kiume nikiamini ni kavu..naomba mnisaidie mwenye utaalamu na nyuso ili na mimi cku 1 niwe na muonekano mzuri..nifanyeshe niwe soft?