nenda sauna, then waone dermatologistMimi nina tatizo na uso wangu jamani,.yaani una mafuta kiasi kwamba napata chunusi na m nt looking gud 4 real,.hamna ht lotion inayonikubali cz nyingi zina mafuta,mpaka inafikia na2mia lotion za kiume nikiamini ni kavu..naomba mnisaidie mwenye utaalamu na nyuso ili na mimi cku 1 niwe na muonekano mzuri..nifanyeshe niwe soft?
yaani ht product oil product sizijui cz product nyingi ni za ngozi kavu,.mimi ngozi yangu ni ya mafuta ht nikiamka asubuhi nakuta mafuta usoni.jaribu kufanya utafiti yakinifu wa aina ya ngozi yako....then ukishajua.....njoo tukupe full dozi ya product za kutumia.....utapendezajeee...
ila epuka kupaka lotion usoni...jaribu kutumia products maalum kwa oily skin....
jaribu kufanya utafiti yakinifu wa aina ya ngozi yako....then ukishajua.....njoo tukupe full dozi ya product za kutumia.....utapendezajeee...
ila epuka kupaka lotion usoni...jaribu kutumia products maalum kwa oily skin....