kama unawashwa nafikiri una allergy, jaribu kujua ni lini uawashwa, au ukila vitu gani hiyo hali inakutoke, au nguo za material gani. sababu ni nyingi. kuhusu protein lazima uangalie labda una UTI. kama unatoka kanda ya ziwa labda una kichocho. na hopital nenda za maana. maji si tiba ya kuondoa proteini. lazima kujua sababu.ni suala la kitabibu zaidi... liwasilishe JF doctor unaweza pata msaada
kama unawashwa nafikiri una allergy, jaribu kujua ni lini uawashwa, au ukila vitu gani hiyo hali inakutoke, au nguo za material gani. sababu ni nyingi. kuhusu protein lazima uangalie labda una UTI. kama unatoka kanda ya ziwa labda una kichocho. na hopital nenda za maana. maji si tiba ya kuondoa proteini. lazima kujua sababu.
protein ktk mkojo pia yaweza kuwa matatizo ya figo. chunga afya yako.asante kwa ushauri wako,but UTI sina kwani nimepima,wala kichocho pia sina..kwa allergy sijui ngoja nikapime kesho nione.kwa upande wa nguo pia nimejaribu kuchunguza sijapata jibu..
nenda hospital ya maana wakakufanyie culture. sio kila malazi yaliyopo yanafahamika tiba yake pia malazi mengi hayafahamiki. kwenye hicho kipimo wanakutoa damu alafu wanacheki kuja kuna wadudu aina gani na wanauwawa kwa dawa gani
vema kumuona dr wa magonjwa ya ngozikesho ntaenda kufanya hy culture ili nijue nn tatizo,kwani nateseka sana,ngozi yote ya mwili imeharibika.
We kapime hiyo aleji/mzio halafu urudi hapa utambie, utapona tuHabari zenu,jamani mm nasumbuliwa na muwasho mwili mzima,nikijikuna natoka vipele vidogo vidogo,nimeshaenda hospital mara nyingi sana,nimepewa dawa za kumeza,nimechomwa sindano za mishipa,nimemeza dawa za minyoo,sioni kupata nafuu...mara ya mwisho niliambiwa nina protini nyingi kwenye mkojo,ili nizitoe hz protini basi ninyewe maji mengi,huu ss ni mwaka wa pili tatizo lipo palepale..naombeni msaada jamani kwa mwenye kujua.