Msaada jamani

Nyuki baby

Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
85
Reaction score
8
Jamani msaada kwa wanaojua cku mbaya za mwanamke kupata mimba? Pleas!
 
ya mkeo au unataka kuzini?
 
Mzee unaogopa Mimba badala ya maradhi? by the way hakuna Mwanamke wa Kijanja anayepata Mimba bila yeye mwenyewe kutaka kubeba ujauzito, najuwa swali hili umeliuliza usiku mkubwa kama huu i hope utakuwa una-Game, kula raha Kijana wacha uoga wa Mimba.
 
Pole hutaki kujulkana nikidume jomba Mimba inamaanisha how u a mature enouph man.Piga mimba jomba upate hata kid.
 
Jamani labla cjatoa maelezo ya kutosha ni kwamba mm nna wife sema 2na baby ambaye bado ni "mdogo" then wife anataka baby mwingine na naona leo anantegeshea ss naogopa acje "kunasa" wenyewe cmjua life tafu! Pleas nisaidieni!!
 
Jamani labla cjatoa maelezo ya kutosha ni kwamba mm nna wife sema 2na baby ambaye bado ni "mdogo" then wife anataka baby mwingine na naona leo anantegeshea ss naogopa acje "kunasa" wenyewe cmjua life tafu! Pleas nisaidieni!!
Huu ndio tunauita utoto, yaani Family plan ya nyumbani kwako unashindwa kupanga na mke wako unataka upangiwe na JF members!!

Kila siku mnahubiriwa kwenye maredio na vipeperushi kwamba vunja ukimya ongea na mwenzako na wewe ndio unatakiwa umuelimishe sababu za uzazi wa mpangilio na hali halisi ya kiuchumi ilivyo.

By the way kuwa na mke si sababu ya kukufanya usitumie Condom mnapokura uroda na mkeo, huyo mkeo anajuwa Vizuri siku zake mbaya na nzuri, sema na mkeo Mkuu, wewe wa wapi?
 
Jombaa km kuna wanawake wagumu kuelewa bac mi wife # 1 yaani nimetalk mpak bac sema nn naona hata ww hujui cku za hatari!

wacha ni "chape ilale" maana hata izo condom zenyewe sina wacha nimpe haki yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…