aliyechoka
Member
- Mar 16, 2012
- 23
- 4
wana jf naomba kwa hili, mwenzenu korodani zangu kuna mda nakuwa nahisi kama kuna moto unaziunguza, afu na mashine nakuwa nahisi ni ya barid! naomba ushauri wa kitaalamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.