Msaada jamani!

aliyechoka

Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
23
Reaction score
4
wana jf naomba kwa hili, mwenzenu korodani zangu kuna mda nakuwa nahisi kama kuna moto unaziunguza, afu na mashine nakuwa nahisi ni ya barid! naomba ushauri wa kitaalamu.
 
Mh ngoja wataalam wapitie watakuja na majibu
 
Mkuu.@aliyechoka Nenda Hospitali kamuone Daktari ikiwezekana kama upo Dar Nenda Hospitali ya rufaa ya Muhimbili kuna Wataalam watakupima na kukupa dawa na utapona Pole sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…