msaada jamani

msaada jamani

hyle master

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
207
Reaction score
23
habar zenu wakuu nina mdogo wangu aliyemaliza kidato cha nne mwaka jana ana C nne ya phy chem kisw na eng masomo mengine ana D je ningependa kujua kuna uwezekano kweli akachagulia govt school au nijiandae tu kumtafutie private school kujiunga na kidato cha tano na ni combination gan inamfaa kwa hayo matokeo
 
Back
Top Bottom