Msaada jamani.

Bahimba

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
510
Reaction score
346
Nasumbuliwa sana na muwasho mkali wenye maumivu katika njia ya haja kubwa, tatizo hili limenichukua karibu wiki tatu sasa, mara nyingi tatizo hili linanikuta nikitoka kujisaidi hapo ndo maumivu makali sana nayapata nilishajaribu kutumia dawa flani za kienyeji lakini hakuna mafanikio, jamani nini chanzo cha tatizo hili.
 
Mkuu, wiki 3 unaumwa tu?, nenda hospitali kafanye vipimo ukipata majibu uje tena tukushauri dawa ya kutumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…