msaada jamani..

MSATULAMBALI

Senior Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
187
Reaction score
55
naomba kusaidiwa nataka kubadilisha mazingira ya kusoma nahitaji kufanya masters yangu katika nchi zifuatazo, finland, holand na norway...sasa naomba ushauri ni nchi gani ni nzuri kimasomo na ni steps zipi nizifuate kupata chuo na kudahiliwa, na jinsi ya kupata visa ya kufika kule bila mizengwe ili nifanikishe azma yangu...
naomba ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…