Msaada jamani

Joined
Aug 1, 2013
Posts
89
Reaction score
11
Nimemaliza shahada yangu ya elimu mwaka huu 2013,,ndoto yangu ni kufanya kazi mkoa wa morogoro(mjini),,sasa nitumie njia gani ili post zitakapo toka nipangiwe hapo morogoro?? 7bu serikali inapanga inavyotaka yenyewe na si jinsi watu walivyoselect mikoa....please kwa mwenye njia au mbinu anielekeze ili niitumie,,,,asanten
 
Hey uwalimu ni wito so usichague sehemu ya kufanya kaz kama uliamua kuwa mwalimu basi jari uchaguzi utakaofanywa na serikari.
 

Ulikubali kuolewa sasa kwanini ulale na C.H..u .Pi kijana ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…