msaada jamani

msaada jamani

tondoli

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
207
Reaction score
51
mtoto wangu wa kiume ana umri wa mwaka 1 na miezi miwili anakojoa mkojo ambao anacha alama kwenye nguo hata ukifua na sabuni alama hizo hazitoki na muda mwingine anapenda kuchezea dudu yake. kwasasa anaumwa na alipewa dawa ya malaria aina ya mseto, na amemaliza juzi jioni ila mpaka sasa anachemka. tafadhali naomba msaada wenu.
 
Kama amemaliza juzi basi una wiki nzima ya kusubiria dawa ifanye kazi. Hizi dawa za mseto mimi sizipendi kwa watoto zinachelewa sana kutibu.
 
Back
Top Bottom