Msaada jamani

janeth1

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2014
Posts
2,151
Reaction score
768
rafki yangu kifua kinamuuma upande wa kulia saiz mwaka umeisha shida itakua nini jamani?
 
kinamuumaje?maumivu yanaendelea mpaka kwenye mkono?anadalili za kukosa pumzi au kutokupumua sawasawa!
 
kinamuumaje?maumivu yanaendelea mpaka kwenye mkono?anadalili za kukosa pumzi au kutokupumua sawasawa!

Adai kinachoma, alpoenda hosptal akaambiwa hawaon tatzo ila wakamwambia ajarbu ku2mia dawa za pressure ka2mia bado hazmsaidii, mda mwng mapgo ya moyo yamwenda mbio ndo dalil ninayoijua kwake.
 
Adai kinachoma, alpoenda hosptal akaambiwa hawaon tatzo ila wakamwambia ajarbu ku2mia dawa za pressure ka2mia bado hazmsaidii, mda mwng mapgo ya moyo yamwenda mbio ndo dalil ninayoijua kwake.
Kuna uwezekano ana tatizo la moyo..akacheki hilo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…