Msaada jamani!

Joined
Jan 22, 2014
Posts
42
Reaction score
2
Je ni madhara gani anaweza yapata mama mjamzito endapo siku zake za kujifungua zimefika na chupa imeshapasuka na hasikii uchungu ushauri namna ya kumsaidia huyu dada jamani Mzizi mkavu
 
Mkuu mambo mengine hayahitaji kusubiri majibu jf unaweza kupoteza mama na mtoto, kwa jambo hilo hata kama upo mbali na vituo vya afya jitahidi umbembe mgongoni umuwahishe hospitali mapema
 
chupa ikipasukainatakiwa mtoto atoke haraka kwan maji yalokuwa yanamsaidia kuishi yametoka....usirudie tena kuuliza jf angli mama anahitaj huduma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…