Msaada jamani

tembojike

Member
Joined
Oct 15, 2014
Posts
30
Reaction score
5
Nina miaka 35 nilianza mahusiano nilipimaliza kidato cha NNE,Nina mume na ninampenda, kabla sijaolew nimewahi Kuwa na mahusiano na wanaume watatu , Ila nafanya tendo LA ndoa kama kutimiza wajibu,sisikii raha yoyote,na ht kwa hao wanaume wengine sijawahi kusikia raha , nitakuwa na shida gani?
 
mueleze haya mambo mume wako bila kumficha, atakusaidia.
 
Asante,ila sikupenda kumshirikisha yeye sababu nimeishi nae mud a mrefu atajisikia vibaya.
 
Umewahi kufanyiwa ubaya/kunyanyaswa kingono,kuishi kwa kuteswa na mwanaume?Huwa unamfikiria vipi m/ume sexually?(sorry)
 
Ninadhani ni bora umuone Daktari wa magonjwa ya wanawake na mtaalamu wa sicology
 
Magata sijawahi kuteswa,sexually namfikiria kawaida,ila Nina kumbukumbu moja nilupokuwa std six tulikuwA tunasafiri tulipakiwa kwenye basi enzi zile mabus yanasafiri Usk siti ilikuwa ya watu 3 tulikaa na baba mmoja,alishuka,baada ya muda akatuita tukale si unajua uto to tukakuta kaanda nyama tukala ,tukaendelea na safari kwenye basi nikalala ss sijui ilikuwa normal usingizi au VP,baadae nikasituka nikakuta mono wake sehemu za siri zangu nikamtoa,as sijui alinichezea kwa mud a gani au alinifanyia nn zaid,na kabla na baada ya SK hy sikuwahi kufanya ngono,lkn japo nilikuwa msg nilikasririka sana nilipokuta ananichezea, na baada ya mwezi nikaanza kuwashwa nikambiwa nimeambukizwa magonjwa ya ngono nikatibiwa nikapona, as sijui kama yaweza Kuwa sababu,
 
pole sana dada. unahitaji kumuona clinical psychologist (msaikolojia tiba) atakusaidia. tatizo la kutoenjoy sex lina sababu nyingi ila lako kuna asilimia kubwa kua likawa la kisaikolojia. kama upo instagram follow Psychological_support_tz kuna very recent post inazungumzia shida yako` nenda muhimbili au agakhan kama upo mkoani niinbox nitakusaidia kama ulipo unaweza kupata mtaalam maeneo hayo. pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…