kishtobe86
Member
- Jul 9, 2015
- 7
- 0
Habari za sikukuu wakuu naomba mnisaide hata ushaur nahitaji mtot ila tatzo nimeambiwa tatizo homon hazijabalance na mirija imeziba nahitaji kujua sehem nzur ya tiba ya kienjeji au hospital nisaidien jamn ndoa naanza kuiona chungu mapema