Msaada jamani!

eRRy

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2009
Posts
1,126
Reaction score
206
Wanajamii wote! nachukua nafsi hii kuwashukuruni wote kwa mchango mkubwa saaana ambao mmekuwa mkiutowa kwa nyakati tofauti(mawazo, nk).
Hata hivyo mi nina mpango wa kuanzisha biashara ya madini(haa dhahabu, Almasi na Tanzanite) kuyatowa TZ na kuyauza USA.mtaji kuanzia $10,000 excluding nauli. Je nianzie wapi? vipi bei? na itahitaji license ya kuuza madini?
Thanx in advance
 
Ndio unaitaji leseni,na kila unachopeleka inabidi kiwe registered na kulipiwa kodi ya serikali.Kwa ushauri anza na Gold,almas,Tanzanite inaitaji uzoefu.(Almas,tanzanite ata kama ni kubwa kiasi gani crack au tuseme mpasuko unalishusha thamani)so you have to be very carefully.mtaji wako unatosha kama 1KG ya Gold,unaeza anza peleka Dubai,then mtaji ukukua ndo upeleke USA.lakini jua ya kuwa USA,China au ata Dubai 1 KG ni cha mtoto,at least 10 kg,but you cvan try goodluck
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…